URUSI YAANZISHA MASHAMBULIZI RASMI UKRAINE KUPITIA ANGA, ARDHI NA MAJINI
Wizara ya ulinzi ya Urusi imekanusha kushambulia miji ya Ukraine – ikisema kuwa inalenga miundombinu ya kijeshi, ulinzi wa anga na vikosi vya anga kwa “silaha za usahihi wa hali ya juu”, shirika la habari la serikali ya nchi hiyo RIA liliinukuu wizara hiyo kusema. Urusi ilianzisha mashambulizi ya makombora Rais wa Ukraine Zelensky amethibitisha
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed